Tuesday, July 15, 2014

Nikiwa namkabizi zawadi yake ya picha Waziri wa wa habari,utamaduni na michezo Dr.Fenella E.Mukangara niliyoichora hapo hapo bila ya yeye kujua katika ufunguzi wa Siku ya msanii iliyofanyika Sea cliff hotel.

No comments:

Post a Comment